UM unaripoti makumi elfu ya wahamaji wa DRC wameamua kusalia Uganda kwa sasa
Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeripoti wahamiaji 25,000 hadi 30,000 wa Jamuri ya Kidemokrasi ya Kongo ambao walikimbilia eneo la Bungana, Uganda kunusuru maisha baada ya mapigano kufumka wameamua kubakia huko mpaka hali ya utulivu itakaporejea Kivu Kaskazini, jimbo linalopakana na Uganda.