Mapigano makali Usomali kuzusha msiba mkuu wa kiutu nchini: OCHA
Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Dharura (OCHA) imeripoti kwamba hali ya kijamii, kwa ujumla, katika Usomali, ni mbaya sana kwa sasa, kutokana na mapigano makali yalioshtadi karibuni, vurugu ambalo aina yake haijawahi kushuhudiwa tangu 1991.