Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hali mbaya kusini-mashariki ya Chad imekiuka makadirio ya UNHCR

Hali mbaya kusini-mashariki ya Chad imekiuka makadirio ya UNHCR

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) imeripoti ya kuwa hali kusini-mashariki ya Chad imeharibika sana na imekiuka makadirio, mazingira ambayo yalijiri baada ya kufanyika mashambulio ya kikatili, na makundi yenye silaha, dhidi ya wanavijiji, mnamo mwisho wa mwezi Machi.