UNMIS kulaani mauaji ya ofisa wa jeshi la AU Darfur
Shirika la UM juu ya Ulinzi wa Amani Sudan (UNMIS) limetoa taarifa yenye kulaani vikali mauaji ya ofisa wa Vikosi vya Amani vya Umoja wa Afrika (AMIS) yalioendelezwa na makundi ya watu wasiojulikana, mnamo tarehe 14 Aprili, kwenye kambi ya wanajeshi iliopo ElFasher.