Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Juhudi za UM kusuluhisha matatizo ya Pembe ya Afrika

Juhudi za UM kusuluhisha matatizo ya Pembe ya Afrika

KM Ban Ki-moon ametangaza taarifa maalumu iliyoyahimiza makundi yanayohasimiana Usomali kushirikiana na jumuiya ya kimataifa kukomesha, halan, vitendo vyote vya umwagaji damu.”

Sikiliza taarifa kamili kwenye idhaa ya mtandao.