Juhudi za UM kusuluhisha matatizo ya Pembe ya Afrika
KM Ban Ki-moon ametangaza taarifa maalumu iliyoyahimiza makundi yanayohasimiana Usomali kushirikiana na jumuiya ya kimataifa kukomesha, halan, vitendo vyote vya umwagaji damu.”
Sikiliza taarifa kamili kwenye idhaa ya mtandao.