UNHCR yahofia ukiukaji wa haki za wahamiaji wa magendo katika Yemen
Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeripoti kuingiwa na wasiwasi mkuu juu ya ukosefu wa hifadhi kwa wale watu wanaovushwa kimagendo kutoka Afrika kwenye Ghuba ya Aden na majambazi.