Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

ICTR yahukumu kifungo cha miaka 15 kwa aliyekuwa padri Rwanda

ICTR yahukumu kifungo cha miaka 15 kwa aliyekuwa padri Rwanda

Mahakama ya UM juu ya Rwanda (ICTR) imepitisha hukumu ya kifungo cha jela cha miaka 15 kwa Athanase Seromba aliyekuwa padri wa Parokia ya Nyange katika kijiji cha Kivumu magharibi ya Rwanda.