Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Fafanuzi za FAO juu ya Malengo ya MDGS

Fafanuzi za FAO juu ya Malengo ya MDGS

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la UM juu ya Chakula na Kilimo Duniani (FAO), Bw Jacques Diouf ameonya ya kuwa jumuiya ya kimataifa haitofanikiwa kukamilisha kwa wakati Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDGs) bila ya kukabiliana, kama inavyopaswa, na tatizo liliokithiri la njaa na umaskini.