Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hali katika Darfur, Sudan

Hali katika Darfur, Sudan

KM wa UM Kofi Annan, mnamo mwanzo wa wiki, alishiriki kwenye mjadala maalumu wa Baraza la Usalama uliozingatia hali katika jimbola magharibi la Sudan la Darfur.