Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Liuteni-Kanali Tharcisse Muvunyi wa Rwanda ahukumiwa kifungo cha miaka 25 gerezani

Liuteni-Kanali Tharcisse Muvunyi wa Rwanda ahukumiwa kifungo cha miaka 25 gerezani

Mahakama ya UM juu ya Rwanda (ICTR) imetoa adhabu ya hukumu ya kifungo cha miaka 25 kwa Liuteni-Kanali Tharcisse Muvunyi, aliyekuwa kamanda wa zamani wa jeshi la Rwanda ambaye alipatikana na hatia ya kushiriki, katika miaka ya 1990s, kwenye mauaji ya halaiki na jinai dhidi ya raia.