Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jaribio la Mapinduzi lagunduliwa Burundi

Jaribio la Mapinduzi lagunduliwa Burundi

Afisi ya kulinda amani ya UM huko Burundi ONUB imeeleza kushangazwa na ripoti kua kulikuwepo na jaribio la kuipindua serekali ya Bujumbura, siku chache zilizopita na kwamba kuna wanasiasa mashuhuri walotiwa vizuizini.