Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Matokeo ya muda ya uchaguzi yazusha wasiwasi DRC

Matokeo ya muda ya uchaguzi yazusha wasiwasi DRC

TMY:Matokeo mengine muhimu kwa wiki hii ni hali baada ya uchaguzi wa kihistoria ya huko jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo.

Mahojiano: Saleh....

TMY:Huyo alikua Saleh Mwana Malongo mwandishi habari wa redio ya taifa ya jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo akizungumza na redio ya Umoja wa Mataifa.