Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wakuu wa UM wanataka Wa-Kongo wasubiri matokeo rasmi

Wakuu wa UM wanataka Wa-Kongo wasubiri matokeo rasmi

Likiwapongeza wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa kushiriki katika uchaguzi wa kihistoria wa nchi yao, kwa sehemu kubwa kabisa kwa amani, siku ya Jumapili, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilitoa mwito wiki hii kuwataka wawe watulivu na kusubiri matokeo ya mwisho ya uchaguzi.