IGAD yaunga mkono sera za Umoja wa Mataifa Somalia
Mjumbe maalum wa UM huko Somalia, Francois Lonseny Fall, amepongeza tangazo la sera lililotolewa na mawaziri wa nchi za mamlaka ya maendeleo ya pembe na Afrika ya mashariki IGAD, likidai kufuata sera za UM huko Somalia.