Matumizi ya dawa za kulevya na athari zake nchini Uganda
Pakua
Matumiz ya madawa ya kulevya huwa ni kikwazo cha maendeleo ya jamii katika nchi nyingi duniani, na pia huhusishwa na utendaji wa makosa ya jinai. Nchini Uganda hasa kwenye Ziwa Albert, matumizi ya madawa hayo miongoni mwa vijana yanaarifiwa kuchochea uhalifu wa aina mbalimbali ukiwemo wizi, kama anavyosimulia John Kibego katika makala ifuatayo.
(Makala ya Kibego)