27 Agosti 2020
Pakua
Jaridani la Umoja wa Mataifa hii leo na Flora Nducha
- Ripoti mpya ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF yasame Takribani theluthi ya watoto wa shule duniani kote, hawakuweza kupata masomo nje ya mazingira ya shule.
-Nini siri ya Mauritius kudhibiti COVID-19 katika muda mfupi
-Kutana na mkimbizi Khalili Ibrahim kutoka Syria ambaye ajali na athari za janga la corona au COVID-19 ilimlazimisha kumwachisha binti yake shule ili afanye kazi.
-Na kwenye makala leo tunamulika safari ya Afrika kutokomeza ugonjwa wa Polio
-Na kwenye mashinani leo tutakwenda nchini Uganda ambako tutasikia jinsi shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani WHO linatoa mafunzo kwa wahudumu wa afya
Audio Credit
Flora Nducha
Sauti
13'13"