Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Radio haifi ng'o- Jane John

Studioni ni Jane John mtangazaji wa habari za michezo katika shirika la Utangazaji Tanzania, TBC akitangaza kipindi cha michezo.

Wanaosema radio inakufa hao hawajafanya utafiti. Ni kweli kuna mitandao ya kijamii lakini hiyo bado haijafika vijijini.

Jane John (TBC-Tanzania)
Studioni ni Jane John mtangazaji wa habari za michezo katika shirika la Utangazaji Tanzania, TBC akitangaza kipindi cha michezo.

Radio haifi ng'o- Jane John

Utamaduni na Elimu

Ujumbe wa siku ya radio duniani mwaka huu wa 2018 ni Radio na Michezo! Umoja wa Mataifa unataka chombo hicho adhimu kitumike kusaidia watu kuchanua na kuonyesha uwezo wao wote. Miongoni mwa watu ambao radio imeweza kuibua stadi zao ni Jane John, mtangazaji wa kike wa habari za michezo katika shirika la utangazaji nchini Tanzania, TBC. Assumpta Massoi alizungumza na Jane kwa njia ya simu kutoka Dar es salaam, Tanzania na kuanza kwa kumuuliza manufaa ya radio!

  1. Radio imemsadiaje?
  2. Na je matangazo ya michezo kupitia radio husaidia vipi msikilizaji?
  3. Je ni kweli radio inakufa?