Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNFPA Kenya yaeleza mipango yake ya kutetea haki za wanawake

UNFPA Kenya yaeleza mipango yake ya kutetea haki za wanawake

Pakua

Mkurugenzi Mkaazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Umoja wa Mataifa la afya ya uzazi na idadi ya watu UNFPA nchini Kenya Anders Tomsen, ameeleza shirika hilo linatekeleza ipasavyo tamko la Umoja wa Mataifa la haki za binadamu ambalo mwaka huu linafikisha miaka 75 hususan ibara ya Tano ambayo inasema Haki ya mtu ya kwamba asitumbukizwe kwenye vitendo vya mateso, ukatili, au adhabu dhalili.

Akihojiwa na mwandishi wetu wa Kenya Thelma Mwadzaya Tomsen anaanza kwa kusema shirika hilo limeundwa kwa kuzingatia misingi ya haki. 

Audio Credit
Leah Mushi/Rhelma Mwadzaya
Audio Duration
3'2"
Photo Credit
UN Women/Luke Horswell