Malaria

Dunia bila Malaria inawezekana- Guterres

Leo ni siku ya kimataifa ya kutokomeza ugonjwa wa Malaria duniain ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametumia ujumbe wake kupongeza nchi ambazo zimefikia lengo kubwa la kutokomeza ugonjwa huo hatari akisema zimeonesha "kwa pamoja dunia isiyo na Malaria inawezekana."

Kuelekea siku ya malaria duniani Aprili 25, Kenya imepiga hatua gani?

Kuelekea siku ya malaria duniani Aprili 25, Grace Kaneiya akiwa Nairobi, Kenya amezungumza na Dkt. Dan James Otieno kutoka Shirika la afya ulimwenguni, WHO nchini Kenya katika programu ya malaria inayofanya kazi kwa pamoja na wizara ya afya nchini humo.

Shirika la afya la Umoja wa Mataifa, WHO yazindua mkakati kutokomeza malaria katika nchi 25 ifikapo 2025 

Katika kuelekea  siku ya malaria duniani, inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 25 Aprili,  shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO limepongeza idadi kubwa ya nch

Sauti -
3'36"

WHO yazindua mkakati kutokomeza malaria katika nchi 25 ifikapo 2025 

Katika kuelekea  siku ya malaria duniani, inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 25 Aprili,  shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO limepongeza idadi kubwa ya nchi zinazokaribia na kufikia, utokomezajhji kabisa wa malaria.

Ripoti mpya ya malaria yatoa wito wa kuchukuliwa hatua mpya za mapambano

Kwa mujibu wa ripoti mpya ya malaria ulimwenguni iliyotolewa hii leo na shirika la afya la Umoja wa Mataifa, WHO, maendeleo dhidi ya malaria yanaendelea kupungua, hasa katika nchi zenye mzigo mkubwa barani Afrika. Mapengo katika upatikanaji wa zana za kuokoa maisha yanadhoofisha juhudi za ulimwengu za kukabiliana na ugonjwa huo, na janga la COVID-19 linatarajiwa kurudisha nyuma zaidi mapambano. 

Afrika kukumbana na changamoto ya malaria baada ya dawa maarufu ya artemisin kuwa sugu:Utafiti

Watafiti wa malaria barani Afrika wameonya kuwa huenda bara hilo likajikuta katika hali ngumu ya kupambaan na ugonjwa wa malaria unaokatili maisha ya maelfu ya watu kila mwaka na hasa watoto wa chini ya umri wa miaka mitano.

Sauti -
2'4"

Afrika kukumbana na changamoto ya malaria baada ya dawa maarufu ya artemisin kuwa sugu:Utafiti

Watafiti wa malaria barani Afrika wameonya kuwa huenda bara hilo likajikuta katika hali ngumu ya kupambaan na ugonjwa wa malaria unaokatili maisha ya maelfu ya watu kila mwaka na hasa watoto wa chini ya umri wa miaka mitano.

10 Agosti 2020

Jaridani la Umoja wa Mataifa hii leo na Assumpta Massoi 
Sauti -
11'47"

Ungana nasi katika juhudi za pamoja kutokomeza kabisa Malaria- WHO

Ikiwa leo ni siku ya Malaria duniani, shirika la afya la Umoja wa Mataifa, WHO, kwa kushirikiana RBM Partnership ambalo ni jukwaa la kutokomeza ugonjwa wa malaria linaloundwa na wadau zaidi ya 500 kuanzia makundi ya wahudumu wa sekta ya afya na mashirika ya kimataifa linanadi kauli mbiu ya “Bila Malaria inaanza na mimi”.

 

Sasa wajawazito na watoto wanapata tiba ya malaria kuliko wakati mwingine wowote:WHO

Ripoti mpya iliyotolewa leo na shirika la afya ulimwenguni WHO, inaonyesha kwamba wanawake wajawazito na watoto wanapata tiba zaidi ya malaria hivi sasa kuliko wakati mwingine wowote ingawa juhudi na ufadhili vinahitajika kuchochea zaidi hatua za kimataifa dhidi ya ugonjwa huo.