Skip to main content

Chuja:

ukoma

10 Mei 2022

Hii leo jaridani siku ya Jumanne ni Mada kwa Kina na tunakupeleka Kenya kufuatilia majaribio ya chanjo dhidi ya Malaria na mwenyeji wetu huko ni Thelma Mwadzaya. Lakini kuna habari kwa ufupi tukimulika Syria, Ukoma na matumizi ya mtandao katika kuuza pombe kutoka nchi moja hadi nyingine. Mashinani tunakwenda Moldova, karibu na anayekusomea jarida la leo ni Grace Kaneiya.

Sauti
11'41"
Mtu mwenye ukoma, Addis Abba, Ethiopia, April 2002
ILO/Fiorente A.

Wenye ukoma bado wabaguliwa Angola; Mtaalamu apaza sauti

Nchini Angola hali ya wagonjwa wa ukoma bado ni tete kutokana na ubaguzi wanaokumbana nao wao Pamoja na familia zao, amesema mtaalamu huru wa Umoja wa Mataifa kuhusu utokomezaji wa ubaguzi dhidi ya wagonjwa wa ukoma, Alice Cruz mwishoni mwa ziara yake ya wiki mbili nchini humo.