Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

13 Agosti 2021

13 Agosti 2021

Pakua

Jaridani Agosti 13, 2021 

Katika Jarida la leo Ijumaa tuna habari muhimu kwa siku ikiwemo hali ya kusikitisha ya ongezeko la vitendo vya ukatili wa kingono nchini DRC pia hali tete nchini Afghanistan. Aidha visa vya saratani barani Afrika vimeongezeka. 

Mada yetu kwa kina inamwangazia mwandishi wa habari nchini Tanzania aliyezushiwa kufariki kutokana na COVID-19.

Katika neno la wiki ni uchambuzi we methali heri kujikwaa kidole kuliko kujikwaa ulimi.

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
11'36"