Skip to main content

Chuja:

#Ukatili wa kingono

Wanawake wakirejea katika nyumba zao katika makazi ya wakimbizi wa ndani ya Plain Savo jimboni Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.
© UNHCR/Hélène Caux

Ukatili wa kijinsia dhidi ya wasichana na wanawake DRC umefikia viwango vya kutisha:UNICEF

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF leo  limetoa wito wa kuongezwa kwa msaada muhimu na  wa dharura wa uingiliaji kati na ufadhili ili kukabiliana na ongezeko la visa vinavyoripotiwa vya ukatili wa kingono dhidi ya watoto na wanawake katika jimbo la Kivu Kaskazini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC.

 

Mlinzi wa amani wa UNMISS nchini Sudan Kusini akishika doroa kwenye jimbo la Equatorial
UN Photo/Isaac Billy

Raia wa Sudan Kusini walikatiliwa na kuuawa Zaidi mwaka 2022 ikilinganishwa na 2021: UNMISS

Mpango wa umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Sudan Kusini UNMISS leo umetoa taarifa ya kila mwaka ya haki za binadamu na ukatili unaoatjiri raia ambayo inaonyesha kuna ongezeko la asilimia 2 la idadi ya raia waliokatiliwa nchini humo mwaka 2022, licha ya kupungua kwa vitendo vya ukatili kwa ujumla kwa asilimia 27 mwaka 2022 ikilinganisha na mwaka 2021.

Mlinda amani kutoka Timu ya kuwahusisha wanawake ya MONUSCO akisambaza barakoa katika kijiji cha Walungu nchini DR Congo
MONUSCO

DNA za walinda amani wa Afrika Kusini huko DRC zakusanywa kubaini baba za watoto 

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, jeshi la Afrika Kusini limepeleka timu yake kwenye  ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo MONUSCO,ili kuchunguza vijinasaba vya watoto na wanawake waliobakwa na walinda amani ili hatimaye kuthibitisha iwapo watuhumiwa ni walinda amani kutoka Afrika Kusini na kisha watoto hao watambue baba zao na pia kupatiwa malezi. 

Sauti
2'39"

13 Agosti 2021

Jaridani Agosti 13, 2021 

Katika Jarida la leo Ijumaa tuna habari muhimu kwa siku ikiwemo hali ya kusikitisha ya ongezeko la vitendo vya ukatili wa kingono nchini DRC pia hali tete nchini Afghanistan. Aidha visa vya saratani barani Afrika vimeongezeka. 

Mada yetu kwa kina inamwangazia mwandishi wa habari nchini Tanzania aliyezushiwa kufariki kutokana na COVID-19.

Katika neno la wiki ni uchambuzi we methali heri kujikwaa kidole kuliko kujikwaa ulimi.

Sauti
11'36"
Video Screen Shot

UNMISS na harakati za kukabiliana na ukatili wa kingono Sudan Kusini

Ikiwa ni sehemu ya mwendelezo wa malengo ya Umoja wa Mataifa tangu kuanzishwa kwake  miaka 75 ya uwepo wake,  kuwa mtetezi mkubwa wa amani na haki za wanadamu kote duniani, nchini Sudan Kusini, mpango wa Umoja wa Mataifa Sudan Kusini, UNMISS umeshirikiana na Jeshi la wananchi wa Sudan Kusini SSPDF kuwapa mafunzo wakufunzi kuhusu kuzuia ukatili wa kingono unaohusiana na mizozo.

Sauti
2'41"
Walinda amani wa Ethiopia wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa huko Sudan Kusini (UNMISS) wakisindikiza kikundi cha wanawake nje ya eneo linalosimamiwa na Umoja wa Mataifa na hivyo kuwawekea mazingira salama ambapo wanaweza kutafuta kuni bila kuwa katika hatari
UNMISS\Nektarios Markogiannis

UNMISS yatoa mafunzo kwa jeshi la Sudan Kusini kuzuia ukatili wa kingono 

Ikiwa ni sehemu ya mwendelezo wa malengo ya Umoja wa Mataifa tangu kuanzishwa kwake  miaka 75 ya uwepo wake,  kuwa mtetezi mkubwa wa amani na haki za wanadamu kote duniani, nchini Sudan Kusini, mpango wa Umoja wa Mataifa Sudan Kusini, UNMISS umeshirikiana na Jeshi la wananchi wa Sudan Kusini SSPDF kuwapa mafunzo wakufunzi kuhusu kuzuia ukatili wa kingono unaohusiana na mizozo.

Sauti
2'41"
Livhuwani Hellen Dzibana, (kulia) akizungumza na moja ya wateja wake jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini.
UNICEF VIDEO

Wakati nakua, ukatili majumbani niliona jambo la kawaida, sasa hapana!

Livhuwani Hellen Dzibana, mshauri nasaha kutoka nchini Afrika Kusini, kutwa kucha hivi sasa anaomba janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19 limalizike kwa kuwa limekuwa mwiba katika utekelezaji wa majukumu yake kwa ufasaha ya kusaidia manusura wa ukatili wa kingono, jambo ambalo analisimamia kidete baada ya kulitambua kwa kina. Kulikoni? 
 

Sauti
2'5"