26 Novemba 2020
Pakua
Jaridani hii leo na Anold Kayanda tunaanzia Rwanda kumulika mafanikio ya kukabili COVID-19 kisha Kigoma Tanzania mkulima mwezeshaji Veneranda Hamisi na mafanikio ya mradi wa KJP. Tunaenda pia India kuangazia mafanikio ya harakati za kutokomeza fikra potofu za kuchukia watoto wa kike na baada ya hapo makala na mashinani. Karibu!
Audio Credit
Anold Kayanda
Audio Duration
12'50"