UNHCR na WFP wazijengea mnepo jamii Tanzania kukabili mabadiliko ya tabianchi
Umoja wa Mataifa umezindua mradi wa miaka mitatu wa kuimarisha mnepo wa jamii dhidi ya mabadiliko ya tabianchi mkoani Kigoma nchini Tanzania ambako mamia kwa maelfu ya wakimbizi wanahifadhiwa.