Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN yaendelea kuhimiza amani Ghuba

UN yaendelea kuhimiza amani Ghuba

Pakua

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amerejelea wito wake wa Jumatatu wa kudumisha amani kwa viongozi wa dunia akitaka kukomeshwa kwa uhasama na kujizuia na ongezeko la machafuko

Audio Credit
UN News/Grace Kaneiya
Audio Duration
1'22"
Photo Credit
UNAMI