UN yaendelea kuhimiza amani Ghuba
Pakua
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amerejelea wito wake wa Jumatatu wa kudumisha amani kwa viongozi wa dunia akitaka kukomeshwa kwa uhasama na kujizuia na ongezeko la machafuko
Audio Credit
UN News/Grace Kaneiya
Audio Duration
1'22"