Chuja:

iraq

UNAMI/Sarmad al-Safy

Fiona Beine: Changamoto kwangu ni fursa ya kujifunza:Fiona Beine

Kutana na Fiona Beine mmoja wa wanawake wanaotoa mchango mkubwa katika operesheni za ulinzi wa amani za Umoja wa Mataifa. Hivi sasa yeye ni naibu mshauri wa masuala ya usalama kwenye kwenye idara ya usalama ya mpango wa Umoja wa Mataifa nchini Iraq UNAMI. 

Fiona Bine ni raia wa Uganda akiwa katika eneo lake la kazi mjini Baghdad nchini Iraq anasema yeye ni mtu anayependa kukabili changamoto kwa sababu zinampa mafunzo katika maisha yake. 

Sauti
2'15"