Guterres: Umoja wa Mataifa ni wenu tushirikiane
Leo umoja wa Mataifa unatimiza miaka 80 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1945 baada ya vita vikuu vya pili vya dunia. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametuma ujumbe wa siku hii akimihiza watu wote washirikiane katika kusongeza majukumu ya shirika hilo kwani ni lao.