TAMWA imesaidia katika kubadili sheria zinazomkandamiza mwanamke Zanzibar
Pakua
Wakati tulipoanzisha chama cha wandishi wa habari wanawake, TAMWA visiwani Zanzibar nchini Tanzania kulikuwa na matukio mengi ya ukatili wa wanawake ambapo vyombo vya habari wakati huo havikuripoti na mbaya zaidi mtazamo wa jamii ukimwelekezea mwanamke lawama.
Audio Credit
UN News/Grace Kaneiya
Sauti
5'53"