Chuja:

vyombo vya habari

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa akizungumza na waandishi wa habari mjini New York Marekani
UN News

Hakuna jamii itakayokuwa huru na haki bila waandishi wa Habari:Guterres 

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amewapongeza waandishi wa Habari Maria Ressa na Demirty Muratov kwa kushinda tuzo ya amani ya Nobel mwaka huu akisema “Duniani kote uhuru wa vyombo vya habari ni muhimu kwa ajili ya amani, haki, maendeleo endelevu na haki za binadamu na ni ngumo muhimu kwa ajili ya ujenzi wa taasisi zenye haki na zisizo na upendeleo.” 

Picha ya makataba ikiwaonesha wanahabari wakipiga picha za video katika Makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani.
UN Photo/Ariana Lindquist

Wanahabari wanapolengwa, jamii kwa ujumla ndiyo inalipia gharama-Guterres

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kupitia Ujumbe wake alioutoa hii leo mjini New York Marekani kuhusu siku  ya leo ya kimataifa ya kutokomeza ukwepaji wa sheria ya uhalifu dhidi ya wanahabari, amesema katika siku ya mwaka huu, dunia vikiwemo vyombo vya habari, juu ya changamoto nyingine, vimekabiliwa na changamoto mpya kabisa ambayo ni COVID-19. 

Sauti
2'50"

01 MEI 2020

Leo katika Jarida la Umoja wa Mataifa ikiwa siku ya wafanyakazi tunaangazia habari tofauti.

-Leo ikiwa  ni sikukuu ya wafanyakazi,tutaskia ujumbe wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

-Siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani tarehe 3 mwezi huu wa Mei, na umuhimu wa vyombo vya habari na wanahabari
-Tutakupasha jinsi Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi huko Sudan Kusini  linakimbizana na muda kuzuia kusambaa kwa virusi vya Corona

Sauti
11'52"