WHO yasema ukosefu wa usalama ukichochea visa vya Ebola, DRC, sasa watoa chanjo kutumia helkopta 13 Disemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la afya ulimwenguni WHO limesema visa vipya vya Ebola 27 vilivyothibitishwa vimeripotiwa katika majimbo ya Ituri na Kivu kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC. Audio Credit UN News/Brenda Mbaitsa Audio Duration 2'30" Photo Credit UN Photo/Martine Perret Ebola Ituri Kivu Kaskazini Michel Yao DRC