Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mtu mmoja kati ya tisa anakabiliwa na njaa kote duniani-WFP

Mtu mmoja kati ya tisa anakabiliwa na njaa kote duniani-WFP

Pakua

Shirika la mpango wa chakula duniani WFP limesema zaidi ya watu milioni 800, ikiwa ni sawa na mtu 1 kati ya 9 kote duniani wanakabiliwa na njaa na kushindwa kumudu mahitaji ya msingi ya chakula. 

Audio Credit
Assumpta Massoi/ Priscilla Lecomte
Sauti
1'45"
Photo Credit
WFP/Sébastien Rieussec