Mtu mmoja kati ya tisa anakabiliwa na njaa kote duniani-WFP 15 Oktoba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la mpango wa chakula duniani WFP limesema zaidi ya watu milioni 800, ikiwa ni sawa na mtu 1 kati ya 9 kote duniani wanakabiliwa na njaa na kushindwa kumudu mahitaji ya msingi ya chakula. Audio Credit Assumpta Massoi/ Priscilla Lecomte Sauti 1'45" Photo Credit WFP/Sébastien Rieussec uhakika wa chakula njaa WFP DRC Msumbiji