Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi wake mkubwa kuhusu kuendelea kuzorota kwa hali ya kibinadamu na kuongezeka kwa ghasia katika jimbo la Cabo Delgado nchini Msumbiji. Grace Kaneiya na maelezo zaidi.
Habari njema! Idhaa yetu ya Kiswahili ya Umoja wa Maitafa yaibuka kidedea katika tuzo za kimataifa za Kiswahili za Shaaban Robert katika ukuzaji wa msamiati!
Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi wake mkubwa kuhusu kuendelea kuzorota kwa hali ya kibinadamu na kuongezeka kwa ghasia katika jimbo la Cabo Delgado nchini Msumbiji.
IOM mjini Maputo Msumbiji hii leo imeeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya kuendelea kufurushwa kwa watu katika eneo la kaskazini mwa Msumbiji kutokana na ukosefu wa usalama katika jimbo la Cabo Delgado.
Makumi ya maelfu ya wananchi wanaendelea kukimbia ghasia jimbo la Cabo Delgado kaskazini mwa Msumbiji huku serikali na wadau wa kibinadamu wakishindwa kukidhi mahitaji ya watu hao ya malazi, chakula na misaada mingine.
Makumi ya maelfu ya wananchi wanaendelea kukimbia ghasia jimbo la Cabo Delgado kaskazini mwa Msumbiji huku serikali na wadau wa kibinadamu wakishindwa kukidhi mahitaji ya watu hao ya malazi, chakula na misaada mingine.
Kamishina Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema hofu inaendelea kuongewzeka kuhusu hali ya usalama inayoendelea kuwa mbaya katika jimbo la Cabo Delgado Kaskazini mwa Msumbiji.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameeleza kushtushwa kwake na ripoti za mauaji yaliyofanywa na vikundi vilivyojihami katika jimbo la Cabo Delgado kaskazini mwa Msumbiji