23 Septemba 2019
Miongoni mwa atakayokuletea Grace Kaneiya kwenye Jarida la Umoja wa Mataifa
-Bila kutimiza huduma za afya na za msingi kwa jamii zote duniani utekelezaji wa SDGs waninekana kama ndoto kwa mujibu wa WHO na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
-Nchini Uganda wanaichi wanena kuhusu changamoto za huduma za afya
-Wakati wa kuchukua hatua dhidi ya tabia nchi ni sasa kunusuru kizazi kilichopo na kijacho wasema Umoja wa mataifa kwenye mkutano dhidi ya tabianchi
-Na leo ni siku ya kimataifa ya lugha za ishara ambazo ni muhimu katika kuhakikisha watu zaidi ya milioni 72 wanaohitaji lugha hiyo hawaachwi nyuma
-Makala yetu leo inatupeleka Kenya kwa mtandao wa vijana wanajikita na kilimo kinachojali mazingira
- Mashinani utamsikia kijana kutoka jamii ya watu wa asili akizungumza mtihani wa mabadiliko ya tabia nchi kwa watu hao