Mafunzo ya MONUSCO yawaangazia nuru waathirika wa ukatili wa kingono DRC
Pakua
Umoja wa Mataifa umeendelea na kampeni ya kukomesha ukatili na unyanyasai wa kingono katika maeneo yenye mizozo huku ukiimarisha miradi ya kuwasaidia waathirika wa janga hilo. Nchini Jamhuri ya Kidemkrasia ya Congo , DRC Umoja wa Mataifa umewasaidia wanawake wengi waathirika kwa miradi mbalimbali.
Audio Credit
UN News/John Kibego
Audio Duration
1'53"