Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Msumbiji tuko pamoja katika zahma hii ya kimbunga IDAI:Guterres

Msumbiji tuko pamoja katika zahma hii ya kimbunga IDAI:Guterres

Pakua

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa antonio Guterres amesema Umoja wa Mataifa na mashirika yake wako bega kwa bega na watu na serikali ya Msumbiji, Malawi na zimbabwe katika kukabiliana na athari za kimbunga Idai kilichokatili maisha ya watu takriban 700 na kuacha uharibifu mkubwa.

Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
3'3"
Photo Credit
WFP/Deborah Nguyen