19 Disemba 2018
Pakua
Katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa hii leo Arnold Kayanda anaangazia
-Usafiri wa mabasi ya abiria maarufu kama "matatu" nchini Kenya ulivyo hatari kwa afya na mazingira kwa mujibu wa UNEP
-Wakimbizi wa ndani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC wapata faraja kwa kusaidia
-Huko kambini Kakuma nchi Kenya wakimbizi wanasema msitusahau nasi " Kakuma tuna vipaji"
-Makala leo inatupeleka Morogoro Tanzania kwa kijana mchonga vinyago anaeleza kwa nini sanaa hiyo imekuwa mtihani siku hizi
-Mashinani ni pongezi kibao kutoka kwenu wasikilizaji mkizielekeza kwa Rebecca Gyumi mshindi wa tuzo ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa
Audio Credit
UN News/Arnold Kayanda
Audio Duration
11'52"