Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

wakimbizi wa ndani

WHO

WFP yaonya mfumo wa chakula Gaza umesambaratika kabisa

Mzozo unaoendelea Mashariki ya Kati umesambaratisha kabisa mfumo wa chakula Gaza limeonya shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP, likisisitiza wakati huu ambapo ni asilimia 10 tu ya bidhaa muhimu za chakula ndizo zinazoingia Gaza tangu kuanza kwa mzozo huo Oktoba 7. Hali ni mbaya na imesababisha njaa kwa karibu wate wote wa eneo hilo na tegemeo lao pekee lililobaki ni msaada wa chakula kutoka WFP. 

Sauti
3'42"
Palestina. Usambazaji wa mkate wa WFP katika shule ya UNRWA ambayo ni makazi maalum wakati wa dharura
© WFP/Ali Jadallah

Mfumo wa chakula Gaza umesambaratika kabisa: WFP

Mzozo unaoendelea Mashariki ya Kati umesambaratisha kabisa mfumo wa chakula Gaza limeonya shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP, likisisitiza wakati huu ambapo ni asilimia 10 tu ya bidhaa muhimu za chakula ndizo zinazoingia Gaza tangu kuanza kwa mzozo huo Oktoba 7. Hali ni mbaya na imesababisha njaa kwa karibu wate wote wa eneo hilo na tegemeo lao pekee lililobaki ni msaada wa chakula kutoka WFP.

Sauti
3'42"
UN Ukraine

Umoja wa Mataifa unaendelea kuwapatia msaada wananchi waliosalia nchini Ukraine

Uvamizi wa Urusi  nchini Ukraine umefurusha makwao mamilioni ya watu kwenda kusaka hifadhi maeneo ya mikoani na hata nchi jirani. Katika Mkoa wa Donetsk asilimia 90 ya wananchi walikimbia tu vita ilipoanza, na zaidi ya wananchi 1,000 walioamua kusalia hawana huduma za maji, umeme na gesi na Umoja wa Mataifa umekuwa ukifanya kila juhudi kuhakikisha wanapata huduma hizo muhimu.

Wakazi wa Chasiv Yar mkoani Donetsk tangu kuibuka kwa vita kati ya Ukraine na Urusi wamekuwa wakiishi katika hali ya taabu na kujificha katika mahandaki chini ya nyumba zao.

Audio Duration
2'26"
Wakaazi wa eneo la Luhanska mashariki mwa Ukraine wanapokea msaada kutoka kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo. (Maktaba)
FAO Ukraine

Wananchi waliosalia nchini Ukraine waendelea kufikishiwa misaada na Umoja wa Mataifa

Uvamizi wa Urusi  nchini Ukraine umefurusha makwao mamilioni ya watu kwenda kusaka hifadhi maeneo ya mikoani na hata nchi jirani. Katika Mkoa wa Donetsk asilimia 90 ya wananchi walikimbia tu vita ilipoanza, na zaidi ya wananchi 1,000 walioamua kusalia hawana huduma za maji, umeme na gesi na Umoja wa Mataifa umekuwa ukifanya kila juhudi kuhakikisha wanapata huduma hizo muhimu. 

Audio Duration
2'26"
WHO/Occupied Palestinian Territory

Raia katika ukanda wa Gaza hawana pa kukimbilia, milioni 1 waambiwa waondoke ndani ya saa 24: UN

Leo ni siku nyingine ambapo hali imeendelea kuwa tete na mbayá zaidi kwenye Ukanda wa Gaza, kwani Israel imetangaza watu wote wanaoishi katika eneo la Kaskazini mwa Wadi Gaza kuondoka na kwenda Kusini mwa Gaza ndani ya saa 24 na hivyo kuwaacha njiapanda maelfu kwa maelfu ya watu wanaoishi eneo hilo yamesema mashirika ya Umoja wa Mataifa hii leo ambayo yanahaha kuwasaidia na kuwanusuru watu hao. 

Sauti
2'49"