Chuja:

wakimbizi wa ndani

© UNICEF/Giovanni Diffidenti

Vita ya miaka 12 vimetuacha taaban tukipoteza matumaini: Raia Aleppo Syria

Leo ni miaka 12 kamili tangu machafuko yalipozuka Syria na kusababisha vita inayoendelea tangu mwaka 2011 iliyosambaratisha nchi hiyo na mamilioni ya raia wake. Maelfu wamepoteza maisha, mamilioni wamekuwa wakimbizi ndani na nje ya nchi yao na majanga mengine ya kila uchao yanazidi kuwaondelea matumaini raia wa taifa hilo la Mashariki ya Kati.

Sauti
3'

13 MACHI 2023

Hii leo jaridani tunaangazia hitimisho la ziara ya Baraza la Usalama DRC na UN Global Compact Tanzania. Makala tutasalia tunakurejesha hap makao makuu katika mkutano wa CSW67 na mashinani tunasalia hapa hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa.

Sauti
12'6"

01 MACHI 2023

Hii leo jaridani tunaangazia ziara za Guterres nchini Iraq na mimba za utotoni nchini Uganda. Makala tunaangazia matumaini kwa wakulima ambao walikuwa wamekata tamaa na mashinani tamko la watoto…

Sauti
11'33"
UNAMI/Sarmad al-Safy

Katibu Mkuu Guterres ziarani nchini Iraq

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amefanya ziara nchini Iraq lengo likiwa ni kusisitiza mshikamano na kuunga mkono juhudu za nchi za kuleta amani ,haki za binadamu na maendeleo endelevu.

Ziara ya mwisho ya Katibu Mkuu Guterres nchini Iraq ilikuwa miaka sita iliyopita, na alipofika Baghdad alipokelewa na Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya nje Fued Hussein ambapo walifanya mkutano wa pamoja na waandishi wa habari.

Sauti
2'6"
Msaidizi wa Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa anayeshughulikia Suluhisho la Wakimbizi wa Ndani Robert Piper akizungumza na mkazi wa makazi ya Barwaqo IDP huko Baidoa, Somalia tarehe 13 Februari 2023.
UN Photo / Ali Bakka

Ziara yangu ya kwanza Somalia ni somo - Robert Piper

Robert Piper akiwaeleza kwa ufupi wawakilishi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na wadau wengine wa kimataifa kuhusu nia ya ziara yake anasema, “nimekuja kuwasikiliza Wakimbizi wa Ndani na kuelewa hali zao na kujifunza kutoka kwa familia ya Umoja wa Mataifa na wadau wetu kuhusu jinsi tunavyokuungeni mkono katika changamoto hii.”  

 

Sauti
3'35"