Makaburi zaidi ya 200 ya halaiki yabainika Iraq, huu ni uhalifu dhidi ya ubinadamu:UN
Pakua
Ukatili uliofanywa na waasi wa ISIL Iraq ni wa kutisha na unaweza kuwa ni uhalifu wa vita na uhalifu dhidi ya binadamu, imesema leo ripoti iliyotolewa na Umoja wa Mataifa. Pia imeelezea kugundulika kwa makaburi ya halaiki zaidi ya 200 huku manusura wakielezea madhila waliyopitia mikononi mwa kundi hilo la ISIL
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
1'54"