Skip to main content

Chuja:

isil

Sinjar nchini Iraqi Kurdistan ilivamiwa na wapiganaji wa ISIL wakati kundi lenyewe la kigaidi lilidhibiti mji.
UN OCHA/GILES CLARKE

ISIL bado ni kitovu cha tishio la ugaidi :UN

Licha ya kupoteza udhibiti wa moja ya maeneo ya mwisho waliyokuwa wakiyahidhi nchini Iraq na kuuawa kwa kiongozi wake, kundi la kigaidi la ISIL linasalia kuwa kitovu cha tishio la ugaidi kimataifa amesema afisa wa Umoja wa Mataifa kwenye Baraza la usalama hii leo Ijumaa.

Kutoka kushoto: Dereva wa ambulensi akisafishwa baada ya kubeba watuhumiwa wa Ebola; Jökulsárlón Glacier Lagoon huko Iceland inazidi kuwa kutoka kwa barafu inayopungua
UN Photo.

Mwaka 2014-2016

Desemba mwaka 2013 ukifunga pazia katika kijiji cha Meliandou nchini Guinea, mtoto Emile Ouamouno alifariki. Hii ilikuwa ni pigo kubwa kwa familia yake lakini kifo hicho kilikuwa na athari zaidi baada ya Emile kutajwa kama mgonjwa wa mwanzo kabisa wa ,mlipuko mbaya zaidi wa Ebola kuwahi kushuhudiwa.

Sauti
3'59"
UN Photo.

Mwaka 2014-2016

Desemba mwaka 2013 ukifunga pazia katika kijiji cha Meliandou nchini Guinea, mtoto Emile Ouamouno alifariki. Hii ilikuwa ni pigo kubwa kwa familia yake lakini kifo hicho kilikuwa na athari zaidi baada ya Emile kutajwa kama mgonjwa wa mwanzo kabisa wa ,mlipuko mbaya zaidi wa Ebola kuwahi kushuhudiwa.

Sauti
3'59"