Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kofi Annan hakuiaibisha Afrika

Kofi Annan hakuiaibisha Afrika

Pakua

Kofi Annan alikuwa kiongozi thabiti kutoka Afrika ambaye katu hakuwahi kufanya jambo la kuaibisha bara lake, amesema mwanadiplomasia nguli kutoka Tanzania Dkt. Salim Ahmed Salim.

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
1'29"
Photo Credit
Picha ya UN