Kofi Annan hakuiaibisha Afrika
Kofi Annan alikuwa kiongozi thabiti kutoka Afrika ambaye katu hakuwahi kufanya jambo la kuaibisha bara lake, amesema mwanadiplomasia nguli kutoka Tanzania Dkt. Salim Ahmed Salim.
Kofi Annan alikuwa kiongozi thabiti kutoka Afrika ambaye katu hakuwahi kufanya jambo la kuaibisha bara lake, amesema mwanadiplomasia nguli kutoka Tanzania Dkt. Salim Ahmed Salim.