Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Shilingi moja ya leo ni mbili ya kesho (Sehemu ya pili)-Kijana mfuga sungura

Shilingi moja ya leo ni mbili ya kesho (Sehemu ya pili)-Kijana mfuga sungura

Pakua

Karibu katika sehemu ya pili ya mahojiano baina ya Peter Kagereki, kijana aliyevunja mipaka ya utamaduni wa vijana wengi wasomi barani Afrika kusubiri ajira za ofisini.

Yeye ni miongoni mwa washindi watatu wa shindano la benki ya dunia kuhusu matumizi ya blogu kwa maendeleo, #Blog4Dev. Kagereki anasema sungura anaofua humpatia kipato asilani, kwani huuza mbolea itokanayo na wanyama hao.

Kwa undani zaidi sikiliza sehemu ya pili ya mahojiano yake na Grace Kaneiya.

Photo Credit
Ufugaji sungura.(Picha:IFAD)