Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNHCR yasaidia wakimbizi wa ndani Iraq

UNHCR yasaidia wakimbizi wa ndani Iraq

Pakua

Wiki iliyopita, mauaji yalitokea nchini Iraq, maeno ya Mosul, baada ya kikundi cha waislamu wenye msimamo mkali cha ISIL kukamata mji huo. Kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR, zaidi ya raia 500,000 walikimbia Mosul na kuacha mali zao ghafla, kwenda kutafuta hifadhi katika maeneo ya Kurdistan, kaskazini mwa Iraq, UNHCR na mashirika mengine ya Umoja wa Mataifa yakijitahidi kuwapatia hifadhi na misaada ya awali. Ungana na Assumpta Massoi kwenye makala hii!

Photo Credit
Wakimbizi kutoka Mosul waliotafuta hifadhi Kurdistan @UNHCR/ S. Baldwin