Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mtama waimarisha usalama wa chakula India.

Mtama waimarisha usalama wa chakula India.

Pakua

Kwa kipindi kirefu nchiniIndiamazao ya mchele na ngano yamekuwa yakipewa kipaumbele, hata hivyo wakulima hawajafanikiwa kupitia mazao hayo. Lakini sasa ziko habari njema kwa wakulima hususani ni wa zao la mtama ambalo huemda likanufaisha nchi na hata kusaidia katika usalama wa chakula.

Ungana na Grace Kaneiya kwa undani wa ripoti hii.