Mkimbizi kutoka kusini mwa Amerika aongoza mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabianchi Guatemala
Mkimbizi Joshua, alipoikimbia nchi yake, kusini mwa Amerika, alilazimika kuingia katika nchi jirani ya Guatemala kusaka hifadhi.
Mkimbizi Joshua, alipoikimbia nchi yake, kusini mwa Amerika, alilazimika kuingia katika nchi jirani ya Guatemala kusaka hifadhi.
Mkuu wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR, MINUSCA Kanda ya magharibi Brigedia Jenerali Zarrar Haider ametembelea kikosi cha 6 cha walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania, TANBAT 6 kilichoweka kambi Berberati, Mambéré-Kadéï.
Kufuatia kuanza kwa maadhimisho ya miaka 75 tangu kupitishwa kwa Tamko la Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu, UDHR, Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu, Volker Türk ametoa wito kwa serikali duniani kote na mamlaka zote zinazoshikilia watuhumiwa kuwapatia m
Hii leo jaridani tunaangazia haki za wafungwa, na kazi za walinda amani nchini CAR. Makala tutaelekea nchini Guatemala na mashinani leo tunarejea makao makuu ya umoja wa Mataifa ambapo utapata kauli ya Rais wa Baraza la Usalama kwa mwezi huu wa Januari kuhusu Syria.
Karibu kusikiliza jarida ambapo hii leo tunakuletea mada kwa kina kuhusu Ukeketaji ambapo utamsikia ghariba kutoka Kenya aliyeamua kuachana na kazi hiyo inayokatili wasichana na wanawake duniani.