Teknolojia ya mtandao yatoa ajira kwa vijana Afrika
Ukuaji wa teknolojia ya matandao leo hii unatoa fursa kubwa ya ajira kwa vijana endapo wataamua kujituma na kuzitumia fursa hiyo vilivyo.
Wanaharakati wakemea wanawake kuvuliwa nguo hadharani Uganda
Ukatili wa kijinsia ni jambo linaloleta hofu kubwa kwa jamii hususan wanawake na watoto wa kike. Ukatili huo ni wa aina mbalimbali ikiwemo wa kingono, kipigo na hata manyanyaso.