UNMISS yaimarisha doria ili kulinda raia Sudan Kusini
Kufuatia uamuzi wa raia wa Sudan Kusinikuanza kurejea nyumbani kutoka ukimbizini huko Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Umoja wa Mataifa umechukua hatua kuimarisha ulinzi kwenye maeneo yao.