Uwekezaji wa nje kimataifa uliyumba 2017: UNCTAD
Uwekezaji wa kimataifa wa moja kwa moja toka nje (FDI) uliporomoka kwa asilimia 16 mwaka 2017 na kufikia dola trition 1.52 kutoak dola trilioni 1.81 mwaka 2016, imesema leo ripoti ya mwenendo wa uwekezaji kimataifa iliyotolewa na kamati ya Umoja wa Mataifa ya maendeleo na biashara UNCTAD.