Umri katika uongozi unakwaza vijana kwenye demokrasia: Hamad Rashid Mohamed
Umoja wa mabunge duniani umekuwa na mkutano wake mkuu wa 131 huko Geneva Uswisi kuanzia tarehe 12 mwezi huu wa Oktoba. Ajenda za mkutano huo ni pamoja na demokrasia na haki za binadamu na dhima ya jamii ya mabunge katika kuchagiza harakati dhidi ya Ebola.