Tamasha la uelewa wa Ukimwi lafanyika Tanga, Tanzania
Wakati dunia ikiadhimisha siku ya ukimwi duniani mwishoni mwa wiki, maadhimisho haya yameleta mwanga bora mkoani Tanga nchini Tanzania ambapo tamasha kubwa limefanyika katika wailaya ya Pangani ili kukuza uelewa wa wananchi.
Muhamedi Hamie kutoka radio washirika Pangani Fm, Tanga Tanzania, amefika katika tamasha hilo na kuandaa makala ifuatayo